Wednesday, May 10, 2017

Taratibu za Kupandishwa Vyeo na Mafunzo kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa



Imetolewa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

1.0 Utangulizi
Usimamizi wa Watumshi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa katika masuala ya upandishwaji vyeo, mafunzo na uhamisho yameelezwa katika Sheria ya Utumshi wa Umma Na 8 ya mwaka 2002, ikisomwa pamoja na Kanuni zake za mwaka 2003 na Taratibu za uendeshaji za mwaka 2003, pamoja na Miongozo na Nyaraka mbalimbali zilizotolewa na Serikali. Kwa sasa taratibu za kusimamia masuala hayo soma zaidi bonyeza HAPA

Wednesday, May 3, 2017

CHAPISHO LA MAJARIBIO

MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LINDI NI MWEZI MAY 2017
 Wataalamu na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi wakitoa heshima zao kwa Mwenge wa Uhuru baada ya makabidhiano kutoka Manispaa ya Lindi katika kiwanja cha michezo Mchinga 1 mwaka 2016
 Mbunge wa Mtama Mh. Nape Moses Nnauye akiwahi tukio moja katika mbio za Mwenge mwaka 2016